google.com, pub-4324601895065941, DIRECT, f08c47fec0942fa0

Habari Mpya

6/recent/ticker-posts

Bibi Kizee mchawi atunguliwa na makombora ya Ufufuo na Uzima


Bibi kizee mchwawi aliyedondoshwa na makombora ya kiroho yenye nguvu na uweza wa Yesu katika Nyumba ya Ufufuo na Uzima akihojiwa na Mchungaji Kiongozi, Josephat Gwajima, mara baada ya kudondoka. Bibi huyo alidai kuwa yeye hakwenda kuwanga hapo kanisani isipokuwa alikuwa akipita katika anga la mahali hapo kwenda kuwanga sehemu nyingine lakini akajikuta akipatwa na ajali na kudondokea ndani ya kanisa hilo. Siku iliyofuata bibi huyo aliamua kuleta zana zake za kazi ili zichomwe moto na yeye ampatie Yesu maisha yake, au kwa kifupi aokoke na kuacha kazi za kichawi na unganga wa kienyeji.

Post a Comment

0 Comments