google.com, pub-4324601895065941, DIRECT, f08c47fec0942fa0

Habari Mpya

6/recent/ticker-posts

Ujumbe wa leo kwa Ufupi unatoka 2 Samweli 22:38-41

Jumapili, 04 April 2010
Somo: NIMEWAKOMESHA NIMEWAPIGA PIGA WAMESHINDWA KUSIMAMA
Na Mchungaji Kiongozi, Josephat Gwajima

2Samweli 22:38-41 “Nimewafuatia adui zangu na kuwaangamiza wala sikurudi nyuma hata walipokomeshwa nami nimewakomesha na kuwapiga piga wasiweze kusimama; naam wameanguka chini ya miguuu yangu maana wamenifunga mshipi wa nguvu kwa vita; umenitiishia chini yangu waliniondokea, naam adui zangu umewafanya wanipe visogo ili niwakatilie mbali wanaonichukia.”

Ili kupata ujumbe huu katika VCD, DVD, AUDIO CD na Kaseti wasiliana na Wachungaji wa Media Outreach na Audio Outreach kupitia namba zifuatazo 0713559152/0716369190/0714117196/0652033638/0715808283

Post a Comment

0 Comments