google.com, pub-4324601895065941, DIRECT, f08c47fec0942fa0

Habari Mpya

6/recent/ticker-posts

Baada ya kumchakaza shetani Japan sasa ni katika Bonde la ukata maneno

Mama Mchungaji, Mchungaji Grace Gwajima(RP) akiwa kanisani Ndani ya Nyumba ya Ufufuo na Uzima(Bonde la Kukata maneno, Kawe Tanganyika Packers, jijini Dar es salaam) katika Ibada ya Jumapili 6 June 2010, siku mbili baada ya kurejea kutoka Japan ambapo Mchungaji Josephat Gwajima alikuwa akiwasambaratisha miungu wa Kijapani(mashetani,majoka) kwa Jina lenye nguvu, uweza na Mamlaka, jina lipitalo majina yote, Jina la Yesu.

Post a Comment

0 Comments