google.com, pub-4324601895065941, DIRECT, f08c47fec0942fa0

Habari Mpya

6/recent/ticker-posts

Mapokezi Makubwa ya Mchungaji Gwajima yaifunika Dar na Utukufu wa Mungu

Mchungaji Josephat Gwajima, Mchungaji Kiongozi wa Kanisa lenye maelfu ya watu (zaidi ya 30,000) “Nyumba ya Ufufuo na Uzima” akipokelewa kwa shangwe na nderemo na maelfu ya watu katika uwanja wa ndege wa kimataiafa wa Mwl. J.K Nyerere, aliporejea tarehe 4 June 2010 majira ya saa 7 mchana kutoka nchini Japan ambapo alihubiri Mkutano wa Ulimwengu “ushahidi 12 wa Kibiblia kwa nini lazima wafu wafufuliwe” na kufundisha neno la Mungu Jijini Tokyo, Okinawa, Nagoya, Hiroshima, Nagasaki, Osaka na Kobe ambapo Mungu alitenda mambo makubwa katika uponjaji, ishara na maajabu ambayo hayaelezeki kwa kuwa utukufu wa Mungu uliijaza Japan yote kwa mkono wa mpakwa mafuta wake Mchungaji Gwajima.

Post a Comment

0 Comments