google.com, pub-4324601895065941, DIRECT, f08c47fec0942fa0

Habari Mpya

6/recent/ticker-posts

Mapokezi ya Mchungaji Gwajima katika Picha

Karibu Baba Gwajima...mmoja wa watoto wa kiroho wa Mchungaji Gwajima akionesha Bango kuanshiria yupo tayari kumpokea Mzazi wake katika BWANA.

Waandishi wa Habari wakimhoji Mchungaji Kiongozi, Josephat Gwajima huku akiwapungia mkono watu waliojitokeza kumkaribisha nchini Tanzania.

Mchungaji msaidizi RP Yekonia Bihagaze na RP Maximilliam Machumu wakisindikizwa na maelfu ya watu wakimpokea Mchungaji Kiongozi Josephat Gwajima kwa furaha ya ajabu mara baada ya Kutua na ndege ya Quater Airways kutokea nchini Japan.


Post a Comment

0 Comments