google.com, pub-4324601895065941, DIRECT, f08c47fec0942fa0

Habari Mpya

6/recent/ticker-posts

Tamasha la Miujiza Mikubwa-Bonde la kukata maneno

Bendi ya Mwanamapinduzi Mchungaji Maximilliam Machuma, pembeni ni Mkewe na waimbaji wa Bendi ya Mwanapinduzi RP Max.
Rachel Marlon akimtukuza BWANA leo katika Tamasha. Hapa Ilikuwa muda wa Praise and Worship. Yaani Ibada ya Sifa ya Kuabudu

Martha Mwaipaja, akimtukuza BWANA ndani ya Tamasha la Miujiza katika Bonde la kukata maneno ndani ya Nyumba ya Ufufuo na Uzima iliyopo Kawe jijini Dar es Salaa.


Maelfu na maelfu ya watu waliokuja katika ibada ndani ya nyumba ya ufufuo na Uzima. Leo misukule waliochuliwa wataoneshwa live na kuelezea nani aliyewachukua, chakula chao na mambo mengine mengi ya kushangaza.