google.com, pub-4324601895065941, DIRECT, f08c47fec0942fa0

Habari Mpya

6/recent/ticker-posts

Jackson Benty Ndani ya Nyumba ya Ufufuo na Uzima

Jackson Benty muimbaji mkongwe wa nyimbo za injili akiwa ndani ya nyumba ya Ufufuo na Uzima katika ibada ya leo tarehe 19 Septemba 2010. Jackson aliimba jumla ya vibao vyake vinne ikiwemo na kile kinachosema “Wewe ndiwe Mungu”.
Jackson Benty akimwabudu BWANA ndani ya Nyumba ya Ufufuo na Uzima, Kawe Tanganyika Packers.