google.com, pub-4324601895065941, DIRECT, f08c47fec0942fa0

Habari Mpya

6/recent/ticker-posts

Wafu lazima wafufuke na Watu waje kwa Yesu


Resident Pastor-RP Bryson ambaye ni mchungaji msaidizi katika nyumba ya Ufufuo na Uzima, akihubiri neno la uzima katika ibada ya leo jumapili, 19 September 2010 ambapo mamia ya watu waliamua kukata shauri na kumpa Bwana Yesu maisha yao.