google.com, pub-4324601895065941, DIRECT, f08c47fec0942fa0

Habari Mpya

6/recent/ticker-posts

Aliyefufuliwa kupitia maombi ndani ya simu ya Mkononi katika Picha

Agnes Mrema akiwa katika pozi baada ya Kutoa Ushuhuda wa kufufuka kwake ndani ya Nyumba ya Ufufuo na Uzima-Kawe jijini Dar es Salaam katika viwanja vya Tanganyika Packers jumapili ya tarehe 12 Disemba 2010
Mchungaji Kiongozi Josephat Gwajima akimhoji mtoto wa Agnes Mrema aliyefufuka baada ya kuombewa alipokuwa maiti kupita simu ya mkononi.














Mtoto wa Agnes Mrema akielezea namna miujiza mikuu ya kufufuka kwa mama yake ilivyotendeka.















Familia ya Agnes Mrema katika picha ya Pamoja ndani ya nyumba ya Ufufuo na Uzima.