google.com, pub-4324601895065941, DIRECT, f08c47fec0942fa0

Habari Mpya

6/recent/ticker-posts

CANDLE PARTY YA MWAKA MPYA

Hivi ndivyo ilivyokuwa mara tu baada ya kufikia saa 6:00 usiku wa leo, na Nyumba ya Ufufuo na Uzima ilifurika MOTO wa mishumaa uliwashwa na Mchungaji Kiongozi Josephat Gwajima wakati wa Ibada ya Kuukaribisha MWAKA MPYA 2011. Kwa niaba ya Mchungaji Kionongozi, Josephat Gwajima, information ministry inawatakieni nyote HERI YA MWAKA MPYA 2011. TIA MUNDU WAKO UKAVUNE SASA!