google.com, pub-4324601895065941, DIRECT, f08c47fec0942fa0

Habari Mpya

6/recent/ticker-posts

IBADA YA MKESHA LIVE: MWAKA MPYA


Ibada ya Mkesha inarushwa live hivi sasa kwa hisani kubwa ya Nyumba ya Ufufuo na Uzima, Information Ministry inakuletea matukio yote ya kukaribisha Mwaka Mpya. Hivi sasa ni ibada ya Sifa na kijana unayemuona katika picha ni Muimbaji wa Muziki wa Injili anayejulikana kwa jina la Eliyona(kulia) akiimba muda mfupi uliopita. Tafadhali endela kufautilia matukio katika Blogu hii ya ufufuo na Uzima kutokea Kawe, Tanganyika Packers jijini Dar es Salaam.