google.com, pub-4324601895065941, DIRECT, f08c47fec0942fa0

Habari Mpya

6/recent/ticker-posts

IBADA YA MKESHA WA MWAKA MPYA

SWAHILI

Information Ministry kwa niaba ya Mchungji Kiongozi, Josephat Gwajima inapenda kuwaletea ratiba nzima ya Ibada katika Mkesha wa Mwaka Mpya. Ibada ya leo katika Kuukaribisha Mwaka Mpya inatarajiwa kuanza saa 3:00 Usiku mpaka saa 12:30 Usiku.

Tunawakaribisha Watanzania wote na watu kutoka Nchi zote. Unapokuja kanisani Mchungaji Kiongozi angependa uje na Karatasi utakayoandika MAHITAJI 10 ambayo wewe binafsi ungependa an unaomba Mungu akutimizie ndani ya MWAKA MPYA 2011. Makaratasi yatawekwa kwenye boxi moja kubwa kwa ajili ya Maombezi atakayofanya Mchungaji Kiongozi, Josephat Gwajima.

Karibuni Nyote tuukaribishe Mwaka Mpya ndani ya Nyumba ya BWANA, Ufufuo na Uzima Katika Bonde la Kukata Maneno. Kumbuka mwaka 2011 ni mwaka wa KUTIA MUNDU WAKO na KUVUNA.

ENGLISH

On behalf of the Senior Pastor, Rev. Josephat Gwajima, information ministry brings to you the schedule for today's overnight service for the NEW YEAR Celebrations. The service is expected to start from 21:00 hours up to 00:30 tonight as we welcome the NEW YEAR.

We welcome all the Tanzanians, and people from every nation. When you come at the church tonight the Senior Pastor would like to see you coming with a piece of Paper in it you write 10 NEEDS of which you pray and wish that God should fulfill them for you. The papers will be put in the box ready for breakthrough prayers from the Senior Pastor, Rev. Josephat Gwajima

Welcome all of yuo once again, so we may concrete our heart before our LORD as we welcome the NEW YEAR 2011 in the house of life and Ressurection. Mind you that the NEW YEAR is the year of CASTING YOUR SICKLE and HARVEST!