google.com, pub-4324601895065941, DIRECT, f08c47fec0942fa0

Habari Mpya

6/recent/ticker-posts

Yaliyojiri Leo Katika Ibada 19 Disemba 2010

RP David, Akiongoza Ibada ya Sifa kwa Kulikung'uta gitaa la Solo huku pembeni yake MP Peter akimsindikiza kwa kucheza katika ibada ya leo tarehe 19 Disemba 2010
Omega Mwangella akipiga keyboard wakati wa Ibada ya Sifa na Kuabudu katika Nyumba ya Ufufuo na Uzima.