Welcome to Ufufuo na Uzima Blog: Karibu Katika Blogu Yetu

Dear reader,



Glory of Christ Tanzania Church (GCTC), famously "Nyumba ya Ufufuo na Uzima" loves you so much and invite you to view this blog in particular. In our church we believe that the word of God(Holy Bible) is the final authority. And thus captives are set free, things which have been stolen by the satan are restored and dead are raised by the mighty name of our LORD Jesus Christ. Please when you read good news in this blog never give glory to any man just give glory to the LORD who is our evelasting father in heaven. Feel free to invite friends and all the people around you to view this blog

Sunday, January 2, 2011

Taswira Katika Ubatizo wa Kibiblia

Mchungaji Kiongozi, Josephat Gwajima akitoa maelekezo kw Ma-RP wote na wale wanobatizwa ili zoezi la Ubatizo lianze rasmi.
Mch. RP Winner akiwa tayari kuanza kubatiza .....................

Mch. RP Bryson Lema akiwa anangojea watu kwa ajili ya kuwabatiza.........


Mch. RP Maximilian Machumu akiwa tayari kuanza kubatiza........................



Mch. RP. Yekonia Bihagaze akiwa anajiandaa kuanza kubatiza..................




Mch. RP. Gwandu Mwangasa akiwa tayar kuanza kubatiza katika bahari ya Hindi katika ufukwe ya Kawe, jijini Dar es Salaam






Maelfu ya watu wakijiandaa kuanza kubatizwa huku wengine wasiobatizwa wakitafuta sehemu za kujipumzisha pembezoni mwa bahari katika ufukwe.





Information Ministry inakuletea moja kwa moja matangazo ya ubatizo wa kibiblia unaofanyika hapa katika beach ya Kawe Club.







Maelfu ya watu wakivuka barabara kuelekea Baharini kwa ajili ya Ubatizo wa Kibiblia. Leo maelfu ya watu wanatarajiwa kubatizwa.