Welcome to Ufufuo na Uzima Blog: Karibu Katika Blogu Yetu

Dear reader,



Glory of Christ Tanzania Church (GCTC), famously "Nyumba ya Ufufuo na Uzima" loves you so much and invite you to view this blog in particular. In our church we believe that the word of God(Holy Bible) is the final authority. And thus captives are set free, things which have been stolen by the satan are restored and dead are raised by the mighty name of our LORD Jesus Christ. Please when you read good news in this blog never give glory to any man just give glory to the LORD who is our evelasting father in heaven. Feel free to invite friends and all the people around you to view this blog

Sunday, January 2, 2011

UBATIZO WA KIBIBLIA


Ninakubatiza kwa jina la Baba, Mwana na Roho Mtakatifu.........

Wachungaji wasaidizi ngazi ya MP, wakimsaidia dada aliyetokwa na pepo mara baada ya kuyagusa maji yaliyogeuzwa kuwa Damu ya Yesu. Uponyaji mkubwa unaendelea kufanyika.


Muujiza wa uponyaji katika Ubatizo. Maji ya bahari yamegeuzwa kuwa Damu ya Mwana kondoo jambo lilisababisha magonjwa, nuksi, mikosi, balaa na mapepo wachafu kuwatoka watu na kuwaacha huru



Ubatizo wa kibiblia unaendelea......




Foleni ya kuingia ndani ya maji kwa ajili ya kubatizwa........





Mch. RP. Ernest akibatiza.................................................






Mch. RP Bryson akibatiza.............................