google.com, pub-4324601895065941, DIRECT, f08c47fec0942fa0

Habari Mpya

6/recent/ticker-posts

Mambo yalivyokuwa katika Ubatizo Mwaka Mpya 2012

Soda ya pamoja kwa ajili ya Afya ya mwaka Mpya 2012
foleni tayari kwa kubatizwa na RP Charles Maganga
foleni tayari kwa kubatizwa na RP Yekonia Bihagaze
foleni tayari kwa kubatizwa na RP Dr. Godson Issa Zacharia
Hapa soda zikiandaliwa kwa ajili ya afya ya mwaka mpya
Hapa RP Bryson Lema akimbatiza mmoja kati ya washirika
foleni tayari kwa kubatizwa na RP Maximilian Machumu
Hapa RP Maximilian Machumu akimbatiza mmoja kati ya washirika
Mchungaji Kiongozi, Rev. Josephat Gwajima akitoa maelekezo kwa ajili ya ubatizo
RP Mwangela akibatiza
Soda zikiandaliwa
Maandalizi ya ubatizo katikati ya Wachungaji waandamizi wa Ufufuo na Uzima wakiwa na
Mchungaji Kiongozi, Rev. Josephat Gwajima
Maelfu ya watu wakishuhudia ibada ya Ubatizo katika bahari ya hindi-kawe beach