Mch. Kiongozi, Josephat Gwajima akiachilia upako wa mafuta ya Roho Mtakatifu kwa mmoja kati ya waliojazwa Roho Mtakatifu leo jioni katika ibada ya kufunga na kuomba iliyomalizika leo, huku ikikadiriwa kuhudhuriwa na zaidi watu wapatao elfu 40 kwa mara moja!
Maelfu ya watu wakiendelea kujaa Roho Mtakatifu leo katika ibada
Mchungaji, RP Maximilian Machumu akibandika mkono tayari kwa kuachilia ujazo wa Roho Mtakatifu!
Mch. Kiongozi, Josephat Gwajima akiwaombea maelfu ya watu waliojazwa Roho Mtakatifu muda mfupi baadaye.
Wachungaji wasidizi, APs na MPs wakiomba ujazo wa Roho Mtakatifu leo katika ibada maalumu ya maombi ya kufunga na kuomba iliyodumu kwa siku nne na kuisha leo jioni.
0 Comments