google.com, pub-4324601895065941, DIRECT, f08c47fec0942fa0

Habari Mpya

6/recent/ticker-posts

PICHA ZA MATUKIO YA UBATIZO-TAREHE 1 JAN 2013

Na Mwandishi wetu.

Kanisa la Ufufuo na Uzima kama ilivyokawaida yake kila mwanzoni mwa mwaka kubatiza ubatatizo wa Kibiblia wakristo wachanga.  Ubatizo wa mwaka huu umefanyika leo tarehe 1 Januari 2013 katika fukwe za Kawe mita chache kutoka lilipo kanisa la Ufufuo na Uzima ambalo Kawe Tanganyika Packers. Ubatizo huo ulianza majira ya saa 6 mchana na kumalizika saa 8.30 mchana.

Wakristo wachanga waliobatizwa ubatizo wa Kiblia wanakadiriwa kuwa zaidi ya 1,000 ambapo Mchungaji Kiongozi Josephat Gwajima aliongoza wachungaji wengine wa kanisa hilo (Resident Pastors) wachungaji wakazi kubatiza watu hao.  

Katika habari hii tunakuletea matukio ya Ubatizo katika picha
Mchungaji Maximilian Machumu akibatiza

Wachungaji wakiombea maji na kufanya maombi kabla ya kuanza kubatiza

Mchungaji Kiongozi, Josephat Gwajima (Kushoto) akishiriki zoezi la Kubatiza

Mchungaji Ernest akibatiza
Wachungaji wasaidizi (MPs, Ministry Pastors) wakijiandaa kushiriki zoezi la Kubatiza

Watu wakijiandaa kubatizwa
Baadhi ya wachungaji wasaidizi wakijiandaa kusaidia katika kubatiza

Post a Comment

0 Comments