Mchungaji Mwandamizi Mkuu Grace Gwajima, akiwa na Flora na Emmanuel Mbasha. |
Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la Ufufuo na Uzima kutoka Morogoro Dr. Issa Zacharia Godson akimkaribisha Mchungaji Kiongozi Mkuu Josephat M. Gwajima. |
Mchungaji Kiongozi Josephat Gwajima,akiwa anawahubiria maelfu ya wakazi wa Tanga. |
Mchungaji Gwajima akiwa anamtambulisha Oumary kwa maelfu ya wakazi wa Tanga, ambapo hapa Tanga ni mahala alipozaliwa na kulelewa. |
Mchungaji Josephat Gwajima akiwaombea na kuwafungua kwa Jina la Yesu maelfu ya watu wa Tanga waliofika uwanjani. |
Maombezi yanaendelea |
0 Comments