Mwimbaji wa kimataifa John Lisu akiwa anamsifu Mungu kwa nyimbo na live band....ilikuwa ni Baraka sana.. |
Add caption |
Ilikuwa ni hali ya Baraka sana wakati John Lisu akimsifu Mungu. |
Mchungaji Mwandamizi Mkuu Grace Gwajima (Kushoto) akiwa na Emmanuel na Flora Mbasha. |
Flora Mbasha na Emmanuel Mbasha wakimuimbia Bwana, kwa Wimbo mzuri uitwao, "Nipe nguvu ya Kushinda" Uwanja mzima ulibarikiwa na wimbo huu. |
Mchungaji Mwandamizi RP. Eng. Yekonia Bihagaze akimkaribisha Mchungaji Kiongozi Josephat Gwajima. |
Mchungaji Kiongozi Josephat Gwajima akiwa anawahubiria maelfu ya wakazi wa Tanga waliofika uwanjani Tangamano. |
Maelfu kwa Maelfu ya wakazi wa Tanga wakiwa katika kumsikiliza Mchungaji Josephat Gwajima kwa utulivu wa Hali ya Juu. |
Maelfu ya waliofika uwanjani Tangamano wakiwa wanapokea uponyaji na kufunguliwa kutoka katika vifungo mbalimbali vya shetani. |
Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la Ufufuo na Uzima Mch.Josephat Gwajima akiendlea kuwafungua maelfu... |
Mchungaji Gwajima akiwa anawaombea watu, pichani tunaona pia Baba yake wa kiroho akimsindikiza.. |
Mchungaji Gwajima akiendelea kuachia moto kutoka Mbinguni na kuteketeza uharibifu wote ambao shetani na malaika zake wamewatandea watu...waliokuwa wamefika katika uwanja wa Tangamano. |
Mchungaji Gwajima akiwa amefungua maelfu ya watu na akiwa anawaandikia ushindi.. |
Mchungaji Kiongozi Mkuu Josephat Gwajima akiwa na Mchungaji Kiongzi Frank Andrea wa Tawi la Ufufuo na Uzima lililoko Jiji Arusha..wakiwaombea watu.. |
Ulikuwa na Muda ambao palikuwa na nguvu za Mungu nyingi sana uwanjani Tangamano... |
Mchungaji Josephat Gwajima akiwaombea Baraka za Mwisho wakazi wa Tanga waliokuwa wamfurika uwanjani Tangamano. |
Mchungaji Gwajima akifurahi na kuimba wakati John Lisu akiwa anaimba katika kufunga siku ya sita ya Mkutano |
0 Comments