NI SIKU YA PILI AMBAPO MCHUNGAJI KIONGOZI JOSEPHAT GWAJIMA, WA KANISA LA GLORY OF CHRIST (T) CHURCH - UFUFUO NA UZIAMA AKIWA KATIKA UWANJA WA TANGAMANO JIJINI TANGA.
Ni mchana ambao watu wengi sana walifurika katika uwanja wa Tangamano,Jijini Tanga. |
Mchungaji Kiongozi Josephat Gwajima akiwasili Uwanjani |
Kuwasili kwa Mchungaji Kiongozi Josephat Gwajima uwanjani kulifanya uwanja ulipuke kwa Shangwe na nderemo |
Mchungaji Kiongozi aliwasili pamoja na Flora na Emmanuel Mbasha |
Mchungaji kiongozi Josephat Gwajima akiwa anaanza kuwabiria maelfu ya wakazi |
Ni siku ya Pili ya Mkutano wa Kihistoria Jijini Tanga. |
Maelfu kwa Maelfu ya wakazi wa Tanga walifika uwanja wa Tangamano..na hapa wakiwa wanafuatilia kwa umakini mkubwa Mchungaji Josephat Gwajima |
Katika uwanja wa Tangamano walikuja wengi kutaka kummpokea Yesu Kristo. |
Flora na Emmanuel Mbasha wakifuatilia mkutano kwa umakini mkubwa |
Mchungaji kiongozi Josephat Gwajima akiwabariki makutano. |
Mchungaji Kiongozi Josephat Gwajima akiwa na Florah Mbasha akiwaaga watu wa Mungu waliofika uwanja wa Tangamano siku ya Jumatatu |
0 Comments