google.com, pub-4324601895065941, DIRECT, f08c47fec0942fa0

Habari Mpya

6/recent/ticker-posts

MOROGORO KUTIKISWA NA UFUFUO NA UZIMA

Baada ya mikutano iliyovunja rekodi kwa idadi ya watu yaani Arusha, Moshi na Tanga; sasa kanisa la Ufufuo na Uzima linahamishia mikutano yake mkoani Morogoro ambapo Mchungaji Gwajima ambaye pia ni mchungaji kiongozi wa kanisa hilo anatarajiwa kuhubiri kwa siku nane mfululizo. 

Pamoja Mchungaji Gwajima atafuatana na timu ya watendakazi zaidi ya mia tatu na waimbaji maarufu wa injili kama Flora Mbasha, John Lisu, Jackson Benty na Mwanamapinduzi Band. 

Mkutano huo wa kwanza kufanyika Morogoro kwa kanisa la Ufufuo na Uzima unatarajiwa kushuhudia misukule wakirudi, wagonjwa wakipona, viwete wakitembea na mambo mengine mengi ya ajabu. 

Usikose kuhudhuria na wewe ili kupokea muujiza wako.


Mchungaji Kiongozi Josephat Gwajima

Post a Comment

0 Comments