MCHUNGAJI KIONGOZI WA KANISA LA GLORY OF CHRIST (T) CHURCH - UFUFUO NA UZIMA ANAENDELEA NA MIKUTANO MIKUBWA YA INJILI NA YA KIHISTORIA KUFANYIKA KATIKA BARA LA ASIA
Pastor Josephat Gwajima akiwa na Mchungaji Msaidizi Grace Gwajima wakiongozana na baadhi ya watendakazi wa Kanisa la Ufufuo na Uzima wapo katika bara la Asia nchini Japan, ambapo waliondoka Tanzania Tarehe 16 mwezi wa 3 mwana huu 2014 na kuanza kufanya mikutano mikubwa na ya kihistoria ya Injili kufanyika katika nchi ya Japan.
Ikiwa ni mwendelezo wa Mchungaji Josephat Gwajima kupokea mialiko mingi kila mwaka kutoka nchi mbali mbali na hasa Japan, ila mwaka imekuwa ni bahati kwa watu wa Mungu wa Japan kwa sababu ameanza kuwatembelea wao mwanzo wa mwaka ambapo pia kuna tawi la kanisa la Ufufuo na Uzima na anategemea kuwa na mikuano zaidi ya sehemu ishirini katika nchi ya Japan.
Mchungaji Josephat Gwajima akiwa anahubiri katika Jiji la Hiroshima nchini Japan |
Maombi na uponyaji na watu kufunguliwa kwa Jina la Yesu Kristo |
Mchungaji Gwajima akifundisha |
Mchungaji Gwajima akiwa anawaombea watu mbalimbali |
Mkazi wa Hiroshima aliyekuwa anasumbuliwa na mapepo yanayosababisha matatizo ya njia ya upumuaji ila akapona baada ya kuombewa kwa Jina la Yesu Kristo na Mchungaji Josephat Gwajima |
Mchungaji Josephat Gwajima akimuombea mkazi wa jiji la Hiroshima ambaye alikuwa akisumbuliwa na mapepo yaliyomsababishia maradhi kwa kipindi kirefu. |
Mchungaji Josephat Gwajima akiwa na mshirika wa Kanisa la Ufufuo na Uzima Japan |
Baadhi ya matangazo yaliyotapakaa katika kila kona ya mji wa Japan. |
Mchungaji Josephat Gwajima muombea mlemavu wa mguu kwa Jina la Yesu. |
Mchungaji Josephat Gwajima akiongoza maombi ya ukiri huku akiwaombea watu na kuwafungua kutoka katika vifungo vya Ibilisi. |
Mchungaji Josephat Gwajima akiwa anahubiri katika jiji la Osaka nchini Japan. |
Baadhi ya washirika wa Ufufuo na Uzima Japan na watu mbalimbali wakiwa katika maombi makali ya kumlazimisha shetani atoke na watu wa Mungu wawe huru kwa Jina la Yesu. |
Shetani amewaachia watu wa Mungu bila kupenda kwa Mchungaji Josephat Gwajim kuliitia jina la Yesu Kristo. |
Maombi ya ukiri yanayoongozwwa na Mchungaji Josephat Gwajima |
Watenda kazi wa Bwana nchini Japan |
Pastor Josephat Gwajima ndani ya Nchi ya Japan. |
Pastor Josephat Gwajima |
Maelfu waliopita mbele kukabidhi maisha ya kwa Yesu na kuombewa |
Mchungaji Josephat Gwajima akiwa anahubiri kwa Kiingereza na anayeonekana pembeni ni mtafasiri anayetafasiri kwa kijapani |
Maelfu ya watu wa Mungu wakiwa wanapita kuombewa na Mchungaji Josephat Gwajima. |
Mchungaji Jospehat Gwajima akiwa anawabariki na kuwaandikia ushindi kwa Jina la Yesu wakazi wa mji wa Nagawa. |
0 Comments