google.com, pub-4324601895065941, DIRECT, f08c47fec0942fa0

Habari Mpya

6/recent/ticker-posts

Musoma



About Musoma 

Welcome to the Resurrection and the Life Musoma branch of the church which is part of the Glory of Mega Church Tanzania (Church of Thousands of People) under the Leader Pastor Eldady Petro. The Church exists to sites Mwisege-Pwani. We welcome them all the first inhabitants came to worship the Lord with us in our Worship. Place here the dead are raised up and sent misukule

 

Karibu Ufufuo na Uzima tawi la Musoma kanisa ambalo ni sehemu ya Mega Church  la Glory of Chirst Tanzania Church (Kanisa la Maelfu ya Watu) chini ya Mchungaji Kiongozi Eldady Petro. Kanisa lipo maeneo ya Mwisege-Pwani(musoma).Tunawakaribisha wakazi wote wa Musoma kuja kumuabudu Yehova pamoja nasi katika ibada zetu. Mahali hapa wafu wanafufuliwa na misukule wanarudishwa
 


PASTORELDADY PETRO
Is the Senior Pastor of the Glory of Christ Tanzania Church at Musoma branch,
He was born in Dar es salaam in 1980 at Mwananyamara Hospital .
Married to Pastor Glory Eldady,They blessed with one Daughter(Ebenezer) and One son(Emmanuel)


He is used by God to destroy and works of Darkness that destroy People lives and set them free from the bondage's the devil and his demons









Platform-Musoma wakiwa katika Inada ya Jumapili tayari kwakuanza ibada ya Jumapili wakiabudu katika Roho leo Jumailipi.



Platform Choir wakimsifu Mungu, mapema asubuhi ibadani leo katika ibada ya Jumapili,  iliyojaa uwepo wa Roho mtakatifu


 Watoto wa Showers-Musoma

Watoto wa Showers -Musoma wakimwimbia BWANA Yesu katika ibada Jumapili.





Mchungaji Kiongozi Eldady Petro Akifundisha  katika ibada ya Jumapili

Somo-NGUVU YA JINA




Mamia ya watu wakimwabundu mungu kwapamoja katika kanisa la ufufuo na uzima-musoma katika ibada ya Jumapili iliyo jaa miujiza na mahajabu(Mwisenge-Pwani Musoma)



Mchungaji Kiongozi -Musoma  akifungua  wote waliokuwa hawawezi na waliokuwa katika tabu na mateso mbalimbali.




Mchungaji Kiongozi wa Musoma akimfungua, aliyekuwa amefungwa na mapepo na nguvu za giza



Mchungaji Kiongozi Eldady Petro akimwombea binti wa miaka 6 aliye kuwa akisumbuliwa na mapepo na mamia ya watu walio kusanyika katika Ibada ya Jumapili





Kijana Samweli Ndege aliyechuliwa msukuleni live na babu yake na  kuwekwa chini ya kitanda akiwa anatumikishwa na babu yake, chakula chake kilikuwa ni Nyama za watu(watoto wachanga) sehemu ya Pwani Mwisenge -Musoma, akimshukuru mungu kumuoka  na maisha ya msukuleni baada ya maombezi makubwa ya Mchungaji Kiongozi Eldady Petro

Binti Rehema Mwanafunzi wa Secondry Mwembeni Hing School akitoa ushuhuda wake mbele ya Mchungaji kiongozi Eldady Petro na kanisa baada ya kupata uponyaji wake; Alikuwa akisumbuliwa na Macho,kubanwa kifua mpaka kumpelekea kundondoka ndondoka na kupoteza faham mara kwa mara nakupelekea kutoelewa Darasani




       

 



       


UFUFUO NA UZIMA-MUSOMA>>>PASTOR ELDADY PETRO(click here) | 




Post a Comment

0 Comments