google.com, pub-4324601895065941, DIRECT, f08c47fec0942fa0

Habari Mpya

6/recent/ticker-posts

Maelfu ya Watu Wajazwa Roho Mtakatifu katika Semina Maalumu



Mch. Kiongozi, Josephat Gwajima akiachilia upako wa mafuta ya Roho Mtakatifu kwa mmoja kati ya waliojazwa Roho Mtakatifu leo jioni katika ibada ya kufunga na kuomba iliyomalizika leo, huku ikikadiriwa kuhudhuriwa na zaidi watu wapatao elfu 40 kwa mara moja!


Maelfu ya watu wakiendelea kujaa Roho Mtakatifu leo katika ibada




Mchungaji, RP Maximilian Machumu akibandika mkono tayari kwa kuachilia ujazo wa Roho Mtakatifu!



Mch. Kiongozi, Josephat Gwajima akiwaombea maelfu ya watu waliojazwa Roho Mtakatifu muda mfupi baadaye.



Mchungaji, RP Yekonia Bihagaze akimwombea mtu ajazwe Roho Mtakatifu leo katika ibada maalum



Wachungaji wasidizi, APs na MPs wakiomba ujazo wa Roho Mtakatifu leo katika ibada maalumu ya maombi ya kufunga na kuomba iliyodumu kwa siku nne na kuisha leo jioni.





























Post a Comment

0 Comments