google.com, pub-4324601895065941, DIRECT, f08c47fec0942fa0

Habari Mpya

6/recent/ticker-posts

WACHUNGAJI ZAIDI YA 24 KUWASILI LEO TOKA JAPAN KUSHUHUDIA WATU WALIOKUWA MSUKULENI

Jumla ya wachungaji 24 kutoka nchini Japan watakuwepo siku ya kesho, Tanganyika Packers katika nyumba ya Ufufuo na Uzima kushuhudia matendo makuu ambayo Bwana amekuwa akitenda ikiwemo kufufua wafu, kuponya magonjwa yasiyotibika, kurudisha misukule na kuokoa watu wenye shida mbalimbali.

Mchungaji Josephat Gwajima anakupenda na anakukaribisha katika mkutano huo, unatarajiwa kuanza majira ya saa mbili asubuhi, katika viwanja vya wazi vya Tanganyika Packers, Kawe. Walete wenye shida mbalimbali, Yesu Kristo atakuwepo kuwafungua wote. Na kwa macho yako utashuhudia wale waliokuwa wamekufa na kufufuliwa. 
Dar es Salaam kwa Yesu na Mchungaji Josephat Gwajima. 

Like, comment and share for AMEN

Post a Comment

0 Comments