Mchungaji Josephat Gwajima anakupenda na anakukaribisha katika mkutano huo, unatarajiwa kuanza majira ya saa mbili asubuhi, katika viwanja vya wazi vya Tanganyika Packers, Kawe. Walete wenye shida mbalimbali, Yesu Kristo atakuwepo kuwafungua wote. Na kwa macho yako utashuhudia wale waliokuwa wamekufa na kufufuliwa.
Dar es Salaam kwa Yesu na Mchungaji Josephat Gwajima.
Like, comment and share for AMEN
0 Comments