google.com, pub-4324601895065941, DIRECT, f08c47fec0942fa0

Habari Mpya

6/recent/ticker-posts

Matukio katika picha - Uzinduzi wa Hekima ya kiongozi


Poster inayoelezea lengo kuu la kipindi cha 'Hekima ya Kiongozi'


Mh. Samuel Sitta akionyesha cheti alichokabidhiwa na Mch. kiongozi Josephat Gwajima (kushoto) kama shukurani na kumbukumbu ya mahudhurio ya kipindi hicho.





Mh. Harison Mwakyembe akisalimia maelfu ya waumini wa Kanisa la 'Ufufuo na Uzima'




Baadhi ya viongozi waliohudhuria katika ibada ya Ufufuo na Uzima kama sehemu ya kipindi cha 'Hekima ya Kiongozi'.


Mh. Anne Kilango Malecela




Mh. James Lembeli katika madhabahu ya kanisa la Ufufuo na Uzima.


Mhe. Aloyce Kimaro akisalimia



Mhe. Sitta akimkaribisha mpiganaji mwenzake kama alivyomtumbulisha Mhe. Hilda Ngoye


Mh. Samuel Sitta


Viongozi waliohudhuria kipindi cha Hekima cha Kiongozi




Viongozi pamoja na Wachungaji waandamizi wa kanisa la Ufufuo na Uzima katika hitimisho la kipindi cha 'Hekima ya Kiongozi'.

Post a Comment

0 Comments