Poster inayoelezea lengo kuu la kipindi cha 'Hekima ya Kiongozi'
Mh. Samuel Sitta akionyesha cheti alichokabidhiwa na Mch. kiongozi Josephat Gwajima (kushoto) kama shukurani na kumbukumbu ya mahudhurio ya kipindi hicho.
Mh. Harison Mwakyembe akisalimia maelfu ya waumini wa Kanisa la 'Ufufuo na Uzima'
Baadhi ya viongozi waliohudhuria katika ibada ya Ufufuo na Uzima kama sehemu ya kipindi cha 'Hekima ya Kiongozi'.
Mh. Anne Kilango Malecela
Mh. James Lembeli katika madhabahu ya kanisa la Ufufuo na Uzima.
Mhe. Aloyce Kimaro akisalimia
Mhe. Sitta akimkaribisha mpiganaji mwenzake kama alivyomtumbulisha Mhe. Hilda Ngoye
Mh. Samuel Sitta
Viongozi waliohudhuria kipindi cha Hekima cha Kiongozi
Viongozi pamoja na Wachungaji waandamizi wa kanisa la Ufufuo na Uzima katika hitimisho la kipindi cha 'Hekima ya Kiongozi'.
0 Comments