MUNGU WA MBINGUNI AJIDHIHIRISHA KATIKA KONGAMANO LA MAKANISA YOTE YA KIPENTEKOSTE LILILOFANYIKA KATIKA VIWANJA VYA SABASABA, UKUMBI WA PTA JIJINI DAR ES SALAAM.
Jumamosi ya Tarehe 15.02.2014 palifanyika jambo la baraka na la kihistoria pale ambapo makanisa ya kipentekoste nchini Tanzania,yalipokutana katika Ukumbi wa PTA, Ndani wa Viwanja vya SabaSaba wakiwa wamekutana kwa pamoja, kwa nia moja,Mitume, Manabii, na Wachungaji
Palikuwa na mkusanyiko mkubwa sana wa watu wa Mungu kutoka makanisa mbalimbali ya kipentekoste kama vile Full Gospel Bible Fellowship, TAG, EAGT, EFATHA, Glory of Christ (T) Church-Ufufuo na Uzima, Mito ya Baraka na Mengine mengi.
Mchungaji Zakarya Kakobe akiingia ukumbini |
Mchungaji Zakarya Kakobe, mchungaji kiongozi wa Kanisa la full Gospel bible fellowship. |
0 Comments