google.com, pub-4324601895065941, DIRECT, f08c47fec0942fa0

Habari Mpya

6/recent/ticker-posts

MBEGU NJEMA YA USHINDI YAPANDWA KATIKA KONGAMANO LA MAKANISA YOTE YA KIPENTEKOSTE NCHINI TANZANIA

MUNGU WA MBINGUNI AJIDHIHIRISHA KATIKA KONGAMANO LA MAKANISA YOTE YA KIPENTEKOSTE LILILOFANYIKA KATIKA VIWANJA VYA SABASABA, UKUMBI WA PTA JIJINI DAR ES SALAAM.

Jumamosi ya Tarehe 15.02.2014 palifanyika jambo la baraka na la kihistoria pale ambapo makanisa ya kipentekoste nchini Tanzania,yalipokutana katika Ukumbi wa PTA, Ndani wa Viwanja vya SabaSaba wakiwa wamekutana kwa pamoja, kwa nia moja,Mitume, Manabii, na Wachungaji

Palikuwa na mkusanyiko mkubwa sana wa watu wa Mungu kutoka makanisa mbalimbali ya kipentekoste kama vile Full Gospel Bible Fellowship, TAG, EAGT, EFATHA, Glory of Christ (T) Church-Ufufuo na Uzima, Mito ya Baraka na Mengine mengi.



Mchungaji Zakarya Kakobe akiingia ukumbini

Mchungaji Zakarya Kakobe, mchungaji kiongozi wa Kanisa la full Gospel bible fellowship.



Mchungaji Josephat Gwajima akiingia ukumbini siku ya Kongamano katika ukumbi wa PTA.
Maelfu ya watu waliokuwepo ukumbini wakimshangilia mchungaji josephat Gwajima

 Mchungaji Kakobe akihubiri

 Mchungaji Zacharya kakobe akimkaribisha na kumtambulisha Mchungaji Josephat
 Mchungaji wa Kanisa la Full gospel  bible fellowship Zakarya kakobe akiwa na Mchungaji kiongozi wa Josphat Gwajima

Ukaribisho wa Furaha   



 Mchungaji Kakobe akiendelea kuhubiri.

 Mchungaji Kakobe akiongoza maombi ya kutuma mafarakano kwenye kambi ya adui yako
 Mchungaji Josephat Gwajima katika Maombi

 Mchungaji kakobe akihitimisha maombi
 Muda wa Mchungaji Gwajima kuhubiri uliwadia









    


Post a Comment

0 Comments