google.com, pub-4324601895065941, DIRECT, f08c47fec0942fa0

Habari Mpya

6/recent/ticker-posts

Maelfu ya Watu Kubatizwa Siku ya Mwaka Mpya

Maelfu ya watu wakiwa ndani ya Nyumba ya Ufufuo na Uzima Jumapili ya leo tarehe 18 Disemba 2010 ambao wanatarajiwa kubatizwa UBATIZO WA KIBIBLIA katika siku ya Mwaka Mpya. Kwa wale wote waliompokea Yesu (Kuokoka) lakini hawakuwahi kubatizwa Ubatizo wa Kibiblia Mnakaribishwa kufika Kawe Tanganyika Packers Alhamisi tarehe 23 Disemba 2010 katika Semina Maalumu ya Ubatizo wa Kibiblia itakayotolewa na Mchungaji Kiongozi Josephat Gwajima