Mchungaji John Kilima na Mch Charles Maganga wakiwa pamoja na wataalamu wa kitengo cha muziki(PA SYSTEM MINISTRY) ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya Ubatizo wa Kibiblia utakao fanyika kesho katika ufukwe wa kawe,ambapo maelfu wanatarajia kubatizwa kesho.information ministry itakuletea matukio yote
0 Comments