google.com, pub-4324601895065941, DIRECT, f08c47fec0942fa0

Habari Mpya

6/recent/ticker-posts

Semina Ya Pasaka na Mch. Kiongozi, Josephat Gwajima

Kuanzia Jumatatu ya Tarehe 5 April 2010 mpaka tarehe 12 April 2010 kutakuwa na Semina ya Pasaka katika Viwanja vya iliyokuwa Tanganyika packers, Kawe jijini Dar es Salaam. Mchungaji Kiongozi Josephat Gwajima atakuwepo akiongoza Semina hii na kufundisha kwa wiki nzima mpaka Jumapili. Usomapo Tangazo hili Tafadhali mjulishe na mwingine na Mungu akubariki sana. Karibu Katika bonde la kukata maneno ndani ya Nyumba ya Ufufuo na Uzima.
Muda: Saa 11 jioni.
Mahali: Iliyokuwa Tanganyika packers, Kawe jijini Dar es Salaam

Post a Comment

0 Comments