google.com, pub-4324601895065941, DIRECT, f08c47fec0942fa0

Habari Mpya

6/recent/ticker-posts

Yalioyojiri katika Ibada Jumapili ya leo 18 Aprili 2010


Msukule aliyerudishwa kutoka msukuleni akipitishwa na wachungaji katikati wa watu ili waweze kumuona vizuri ndani ya Nyumba ya Ufufuo na Uzima katika viwanja vya Tanganyika Packers, kawe jijini Dar es Salaam.



Familia ya Happiness Kahabi wakimwaibisha shetani ambaye ni muongo na ni baba wa huo(uongo). Happiness kahabi(wa pili kutoka kulia) alichukuliwa msukule na kupelekwa chini ya ziwa Victoria na baadaye BWANA Yesu alimrudisha kutoka msukuleni.Pamoja nao wakishuhudia na kumpa BWANA Yesu utukufu ni mume wake Happiness (mwenye shati jeupe -wa kwanza kulia), mama yake mzazi(wa pili kushoto) na kaka yake. Katika picha pamoja nao ni Mchungaji Kiongozi Josephat Gwajima wa Kanisa la Glory of Christ Tanzania Church (GCTC) almaarufu kama “Ufufuo na Uzima”





Post a Comment

0 Comments