Welcome to Ufufuo na Uzima Blog: Karibu Katika Blogu Yetu

Dear reader,



Glory of Christ Tanzania Church (GCTC), famously "Nyumba ya Ufufuo na Uzima" loves you so much and invite you to view this blog in particular. In our church we believe that the word of God(Holy Bible) is the final authority. And thus captives are set free, things which have been stolen by the satan are restored and dead are raised by the mighty name of our LORD Jesus Christ. Please when you read good news in this blog never give glory to any man just give glory to the LORD who is our evelasting father in heaven. Feel free to invite friends and all the people around you to view this blog

Friday, December 31, 2010

IBADA YA MKESHA LIVE: MWAKA MPYA 2011

Mwanamuziki Brandina akimsifu Bwana katika ibad ya kuukaribisha mwaka Mpya katika bonde la kukata maneno kawe, Tanganyika Packers...
Ibada ya sifa bado inaendelea na hapa Watanzania mbalimbali wako tayari kabisa kuupokea mwaka mpya wakiwa Nyumbani mwa BWANA, Ufufuo na Uzima......
Maelfu ya watu wakiwa katika ibada ya Mkesha ndani ya Nyumba ya Ufufuo na Uzima wakati ibada ya Sifa ikiendelea....